Sunday, June 26, 2016

Pesa Haihitaji Mtaji Kuipata ni Kweli?


Kila ninapojaribu kushirikisha rafiki zangu juu ya dhamira yangu ya kufanya mambo makubwa maishani kama vile kuwa kati ya mabilionea wakubwa 10 nchini Tanzania, huwa ninapata jibu la “huwezi”, kwamba hayo ninayotaka kuyafanya yanataka mtaji mkubwa sana. 

Hatahivyo, nimeapa kutokata tamaa, kwasababu wanasema “mtu akikwambia huwezi kufanya hili” maana yake...

Tuesday, June 21, 2016

Pesa Inaingia Mfukoni Ukijua Lugha Yake ni Ipi Hiyo?


“Watu wengi wanatumia pesa walizopata..kununua vitu wasivyovihitaji..kufurahisha watu wasiowapenda” ~ Will Rogers

Mojawapo ya nguzo muhimu katika kupata maisha mazuri ni pesa ya kutosha kumudu gharama za maisha ya kila siku. Zaidi ya hilo, ni kwamba mafanikio binafsi ya kifedha ni chachu ya mafanikio ya aina nyinginezo. Lakini...