Friday, January 26, 2018

Mali Hizi Tatu Tayari Unazimiliki Japo Hujui



 
Kama kuna kitu nakipenda kukifanya katika maisha ni pamoja na kujitahidi kila mara kurahisisha mambo yanayoonekana kuwa magumu kwenye jamii. Napenda kulifanya suala la kupata pesa kuwa rahisi, ndiyo maana nimeandika makala nyingi juu ya pesa, ikiwa ni pamoja na kuendesha semina za mafunzo. Lengo kuu limekuwa ni kusaidia watu wengi kufahamu na kuelewa mambo ya msingi juu ya pesa. Kitu ambacho huwa nasisitiza kila mara ninapoandika makala na kufundisha watu wengine, ni...