Thursday, December 31, 2020

Mwaka 2020 Unaisha leo Mwaka Mpya 2021 ni Kesho Unajisikiaje?

"Pale unapohisi ni mwisho mara nyingi ndio mwanzo wa kitu kipya" ~ CYPRIDION MUSHONGI


Napenda kutoa shukrani zangu kwako, hii ni kutokana na ukweli kwamba wewe binafsi umekuwa pamoja na mimi na MAARIFSHOP kwa ujumla. Hakika tumekua na kuishi kwenye jumuia moja kama siyo kabila moja linaloitwa..

Sunday, October 11, 2020

BIBLIA TAKATIFU-WEWE UNAPENDELEA KUSOMA VIFUNGU GANI JUU YA PESA?

 “Chanzo cha maovu duniani siyo pesa bali kukosa pesa mfukoni” ~ Cypridion Mushongi


Upatikanaji wa pesa kwa mtu yeyote unategemea sana imani na mtazamo wa mtu juu ya pesa.

Linapofika suala la pesa, watu tunagawanyika katika makundi makuu matatu; ambayo ni..

Monday, August 31, 2020

Pesa Yako ni Ishara ya Nini? Kama Unajua Usisome Hapa

 "Pesa ni Mwakilishi Shughulika na Anayewakilishwa"CYPRIDION MUSHONGI



Pesa ni kitu gani mpaka karibu kila mtu anaitafuta? Kama pesa inatafutwa na kila mtu, lazima kujiuliza wapi hasa inapatikana. Je? Ni kweli wote tunafahamu sehemu au mahali inapopatikana? Kama mahali pesa ilipo hapajulikani tutawezaje kuipata? Maswali yote haya yanahitaji majibu kwanza kutoka kwa kila mmoja wetu ambaye anazitaka pesa kwa dhati.

Maswali yote haya pia ndiyo yanatoa

Tuesday, August 18, 2020

Biashara yako Inakuzwa na Mteja Yupi?

“Kama unawajali wateja wa zamani usihangaike kutafuta wateja wapya” ~ CYPRIDION MUSHONGI 



Nguzo muhimu katika biashara yoyote duniani ni wateja. Ninaweza kusema kwamba biashara inafanikishwa na watu wawili; yaani mfanyabiashara ambaye ndiye anauza bidhaa au huduma na wa pili ni mteja ambaye ananunua bidhaa. Kama unafanya biashara ambayo wateja wapo, tunasema biashara hiyo inalipa lakini kama wateja hawapo tunasema biashara yako hailipi. Kwahiyo, kuendelea kwa biashara yako ni

Tuesday, August 11, 2020

Ulimwengu Mpya wa Ajira Unamuhitaji Nani?


Ukosefu wa ajira ni miongoni mwa changamoto kubwa kwa jamii yetu na hasa vijana. Lakini pia, pamoja na kuwepo kwa changamoto hii, bado na wale wanaofanikiwa kupata ajira wanaipoteza muda mfupi. 

Pengine hali hii inatokana na ukweli kwamba tuko kwenye ulimwengu mpya wa ajira,

Tuesday, July 28, 2020

Faida ya Kufanyakazi Bure ni Hii Hapa

“Tembo pamoja na kuwa myama mkubwa hang’ati LAKINI mbu anang’ata”~ Darren Hardy

Unaanzaje kufanyakazi bure bila malipo yoyote?; katika hali ya sasa ambayo watu wengi tayali ni waumini wa mfumo wa pesa taslim au mfumo wa nipe nikupe. Hivi sasa watu wengi wanajitahidi kufanya vitu vitakavyowaletea pesa haraka (chapuchapu). Kiashiria mojawapo cha watu kupenda malipo ya chapuchapu ni

Monday, July 20, 2020

Motisha wa Kazi nani Anapaswa Kutoa?




Baada ya mapinduzi ya viwanda uko barani Ulaya mwishoni mwa karne ya 18, iliibuka na kujengeka dhana nzima ya kuajiriwa. 
Dhana hii ilikua kutokana na ukweli kwamba viwanda wakati huo vilihitaji sana nguvu kazi. Mabepari waliomiliki vitegauchumi walihitaji sana wafanyakazi, ili

Monday, July 13, 2020

Muda ni Wako Unaumiliki au Unakumiliki?


Nimesikia mara nyingi sana watu wakilalamika kuwa hawana muda. Kupitia malalamiko haya, nimejikuta nikijiuliza maswali mengi kama haya;”kwamba muda huwa unatoka wapi? Nani huwa anagawa muda? Nani ni mmiliki wa muda? Je mimi ndiye mmiliki wa muda? Au muda unanimiliki mimi. 

Katika kutafakari maswali yote haya nimegundua kwamba...

Monday, June 29, 2020

Imani Yako Kuhusu Mipango ni Ipi?



Watu waliowengi ni kawaida kusikia wakisema jipe IMANI Mungu atakusaidia ufanikiwe au bora imani tu! utafanikiwa. 

Pengine hali hii inatokana na msukumo ambao wamekuwa wakiupata kutoka kwa viongozi wa dini, ambao mara zote wamesisitiza waumini wao kuwa na IMANI; lakini..

Wednesday, June 17, 2020

Kama Biashara Yako Haikupi FAIDA Fanya Hivi

"Kufungamanisha Furaha Yako na KUTOA ni Bora Kuliko Kufungamanisha na KUPATA" - Cypridion Mushongi


Watu walio wengi wakipata faida wanafurahi sana, hii ni kutokana na ukweli kwamba jamii yetu kwasasa imejenga tabia ya kwamba maisha ni..

Saturday, June 13, 2020