Saturday, December 31, 2016

Fungua Mwaka ya Uchumi ni Hii Hapa



 
Mahitaji ya binadamu ni mengi sana na hayana kikomo. Mahitaji haya yamegawanyika katika makundi makuu mawili yaani “Vitu/Bidhaa” na “Huduma”. Pamoja na mahitaji mengi ya binadamu, mtu mmoja mmoja hawezi kuzalisha na kujitoshereza kwa kila kitu. Ndiyo maana binadamu wengi uendesha maisha yao kwa