Tuesday, July 28, 2020

Faida ya Kufanyakazi Bure ni Hii Hapa

“Tembo pamoja na kuwa myama mkubwa hang’ati LAKINI mbu anang’ata”~ Darren Hardy

Unaanzaje kufanyakazi bure bila malipo yoyote?; katika hali ya sasa ambayo watu wengi tayali ni waumini wa mfumo wa pesa taslim au mfumo wa nipe nikupe. Hivi sasa watu wengi wanajitahidi kufanya vitu vitakavyowaletea pesa haraka (chapuchapu). Kiashiria mojawapo cha watu kupenda malipo ya chapuchapu ni

Monday, July 20, 2020

Motisha wa Kazi nani Anapaswa Kutoa?




Baada ya mapinduzi ya viwanda uko barani Ulaya mwishoni mwa karne ya 18, iliibuka na kujengeka dhana nzima ya kuajiriwa. 
Dhana hii ilikua kutokana na ukweli kwamba viwanda wakati huo vilihitaji sana nguvu kazi. Mabepari waliomiliki vitegauchumi walihitaji sana wafanyakazi, ili

Monday, July 13, 2020

Muda ni Wako Unaumiliki au Unakumiliki?


Nimesikia mara nyingi sana watu wakilalamika kuwa hawana muda. Kupitia malalamiko haya, nimejikuta nikijiuliza maswali mengi kama haya;”kwamba muda huwa unatoka wapi? Nani huwa anagawa muda? Nani ni mmiliki wa muda? Je mimi ndiye mmiliki wa muda? Au muda unanimiliki mimi. 

Katika kutafakari maswali yote haya nimegundua kwamba...