Saturday, December 30, 2017

Unaposikia Uwekezaji Katika Hisa Unapata Picha Gani?



“Mtu anayeuza hisa ni sawa na mtu anayeuza kuku wakati anapenda mayai” ~ Cypridion Mushongi
Neno "hisa" limekuwa maarufu sana miongoni mwa watanzania. Umaarufu wa neno hili umekua kutokana na kuenea kwa taasisi za VICOBA na SACCOS maeneo yote nchini yaani mijini na vijijini. Pamoja na watu wengi kuanza kushiriki zoezi la kununua na kumiliki hisa katika hatua mbalimbali, bado wengi wanakiri kuwa uelewa wao juu ya..