Saturday, September 24, 2016

Mambo Manne ya Lazima Mjasiriamali Kuyajua


“Utajiri unapendelea wale walio na ujasiri!” ~ Cypridion Mushongi
Mjasiriamali wa kweli sharti ajiongoze mwenyewe katika kufanya maamuzi juu ya biashara yake au maisha yake kwa ujumla. Ili, mjasiriamali ajiongoze vyema, ni muhimu ajitahidi kujifunza masuala mbalimbali yanayogusa kile ambacho anakifanya au anatarajia kukifanya. Kwa kawaida, hatutegemei mjasiriamali wa kweli afanye kazi kwa...

Friday, September 16, 2016

Fahamu Kwanini Kesho si Rafiki wa Mafanikio Yako





Katika maisha yetu ya kila siku,  neno “kesho” linatumika sana kama njia pekee ya kuhairisha mambo mengi, ambayo kimsingi yalitakiwa yafanyike “leo”. Kesho ni miongoni mwa maneno yanayopendwa kutumiwa kama kinga ya kukataa kutimiza majukumu fulani ya leo. Badala ya mtu kusema “HAPANA” kitu hiki, anajibanza nyuma ya...

Friday, September 9, 2016

Miaka 45 ya Kuzaliwa Tumezeeka au Tumekua?




Mara nyingi watu wengi tunapozeeka udhania kwamba tumekua kumbe ndio kwanza tunazidi kuwa watoto wachanga. Mafanikio makubwa yanapatikana kwa urahisi kwa wale tu waliokua na si waliozeeka.  Ukikua ndipo unapata-

Friday, September 2, 2016

Mwajiriwa Jilipe Kwanza Mjasiriamali Ufanye Nini?


"Sisi kama wajasiriamali wa kweli lengo letu la kuanzisha biashara sio kwaajili ya kupata MSHAHARA bali ni kujenga VIINGIZA-PESA~ Cypridion Mushongi


Sifa kuu ya mwajiriwa huwa ni kulipwa “mshahara au ujira”. Maana yake ni kwamba yule aliyekuajiri anawajibika kukulipa muda wako ambao umeutumia kwenye biashara yako. Haijalishi mshahara wako ni mkubwa au mdogo kiasi gani bali mshahara wako ni..