Monday, March 27, 2017

Pesa Inatakiwa Kuja Kwako Kwasababu Hii


Kila binadamu amezaliwa kama mchumi na anapaswa kuwa mchumiLakini, kwa wastani watu wengi siyo wachumi kwasababu hatujui thamani ya vitu ambavyo tayari tunavyo. Kuwa mchumi maana yake—siyo kuwa mbahili bali ni ile hali ya kuweza kupata matokeo makubwa kutokana na matumizi kidogo. Kazi ya kupata matokeo makubwa kutoka kwenye matumizi madogo si kitu cha hivi hivi bali ni..

Monday, March 20, 2017

Utajiri au Umaskini Utokana na Nini?



 


Kila mmoja ninaamini anao uwezo wa kuwa tajiri, isipokuwa binadamu huwa na fikra tofauti juu ya mambo yale yale. Kitu kilichoko akirini mwako ndicho kinacho leta tofauti ya hali ya Maisha unayoishi kwa sasa . Maana yake ni kwamba, jinsi ulivyo wewe ni zao la yale yote unayofikiri kila siku. Watu waliofanikiwa kuwa matajiri, wana mambo kama 5 ambayo wameyafanya kuwa kama kanuni zao za kudumu na kwakuwa ni kanuni, wao huzitekeleza na kuziishi kila siku. Kanuni zenyewe ni....

Monday, March 13, 2017

Ugonjwa wa Kuchoka Unatumaliza!


“Chanzo kikuu cha ugonjwa wa kuchoka ni watu wengi kufanya kazi ambazo hawazipendi” ~ by Cypridion Mushongi.
Ugonjwa ni hali ya kutojisikia vizuri, na wakati mwingine hali hii uambatana na maumivu makali sana. Katika ulimwengu wa afya, magonjwa yamegawanyika katika makundi makuu mawili. Kundi la kwanza ni magonjwa ya kuambukiza, mfano: kipindupindu, malaria, ukimwi n.k.

Kundi la pili ni

Monday, March 6, 2017

Ukibadili Unavyofikiri Hiki Kitatokea Maishani Mwako


"Hatuwezi kutatua matatizo kwa kutumia fikra zile zile zilizosababisha matatizo hayo kutokea" ~Albert Einstein


Ukweli ni kwamba, hatuhitaji pesa kubadili jinsi tunavyofikiri. Kwa maisha yetu yalivyo, sisi sote tuna uwezo wa kubadili jinsi tunavyofikiri bila kutumia gharama yoyote. Habari mbaya ni kwamba,...