Monday, May 22, 2017

Tabia ya Pata Tumia Pesa Inakukwamisha Namna Hii


Kila tupatapo pesa, akiri yetu ututuma kutumia mara moja. Wengi wakishapata pesa, hapo hapo ujihisi kutokuwa na nguvu tena ya kuvumilia shida walizokuwanazo, kabla ya kupata pesa. Kuna wengine hata hawawezi kuvumilia walau masaa mawili bila kuwa wameanza kutumia pesa waliyopata. Kwa maneno mengine ni kwamba,

Monday, May 15, 2017

Jifunze Kwanini Tunasema Hakuna Makosa Duniani


Mojawapo ya vitu ambavyo vinachukiwa sana na binadamu ni kitu kinachoitwa “makosa”. Jambo hili la makosa linaogopwa sana kutokana na ukweli kwamba, wengi wetu tumekulia na kulelewa katika mfumo ambao ni watu wachache kwa nafasi zao wanaamua na kushawishi juu ya nini kifanywe na wengine ambao ni wengi.

Maana yake ni kwamba, watu wengi licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuamua juu ya

Monday, May 8, 2017

Tunapanga Kuwa Masikini Namna Hii



Katika hali ya kawaida, kila binadamu anaishi kwa kupanga vitu vya kufanya. Katika zoezi zima la MPANGO, kuna makundi mawili ya watu. Kundi la kwanza ni watu waliopanga kutokuwa na mpango wowote wa maisha yao na kundi la pili ni

Monday, May 1, 2017

Leo ni Siku ya Wafanyakazi au Siku ya Wenyekazi Duniani


Kwa miaka mingi tumekuwa na utamaduni wa kupumzika na kusherekea eti! “sikukuu ya wafanyakazi” kila ifikapo tarehe moja mwezi Mei ya kila mwaka. Lengo au ajenda kuu ya siku hii ya leo, imekuwa ni kudai uboreshwaji wa maslahi ya watumishi (waajiriwa) kutoka kwa waajiri (wenyekazi).

Kusherekewa kwa siku hii ya “Mei Mosi” kunathibitisha mambo makuu mawili, ambayo ni