Friday, January 29, 2016

Je ni Kweli Uzoefu Unaleta Woga?


“Kila kitu kipya ambacho unaweza kufikiri ni HALISI hata kama hakijawahi kuwepo” ~ Pablo Picasso ~

Uzoefu ni elimu au uelewa fulani ambao mtu anakuwanao kutokana na kufanya kazi mbalimbali lakini mara nyingi ni.....

Tuesday, January 26, 2016

Unataka Kutajirika Anza na Hili

“Uhuru wa kipato upo kwa wale tu waliotayari kujifunza na kufanya kazi” ~ Robert Kiyosaki
Watu wengi wanatafuta utajiri kwa hudi na uvumba, japo wengine wachache wanapata na waliowengi wanakosa na kukata tamaa. Jambo ambalo ni dhairi kabisa ni kwamba, watu wengi tunaanza safari ya kutafuta utajiri katika hatua au vituo tofauti tofauti. Kwahiyo, swali la kujiuliza ni je? Safari yetu ya kutafuta Utajiriinapaswa kuanzia...

Friday, January 22, 2016

Jitahidi Upate Kusoma Kitabu Hiki



“Mimi siyo zao la hali yangu ya maisha BALI ni zao la maamuzi nifanyayo kila siku”. ~ Stephen Covey ~

Ukibahatika kupata na kusoma kitabu cha “Are you fully charged?” Utajifunza mambo makubwa sana ambayo yatarahisisha kazi yako ya kusaka mafanikio makubwa.

Kutoka katika kitabu hiki na mimi nimejifunza mambo mengi sana LAKINI nimeona nikushirikishe mambo 5 kama sehemu ya mambo niliyojifunza kutoka katika kitabu hiki: Mambo 5 niliyojifunza mimi binafsi ni….

Tuesday, January 19, 2016

Hii Ndiyo Hatari ya Kukwepa Kukataliwa



“Nachukulia kukataliwa kama mtu anayejaribu kupigia tarumbeta kwenye masikio yangu ili kuniamsha niendelee na safari badala ya kurudi nyuma”
~ Sylvester Stallone ~

Katika ulimwengu wa nafsi kuna watu wa aina mbili. Kundi la kwanza ni wale watu wenye kumiliki nafsi zao, kundi hili tunaweza kuwaita “Wamiliki”; na kundi la pili ni................

Friday, January 15, 2016

Huu Ndio Muujiza wa Makosa



“Mtu yeyote ambaye hajawahi kufanya makosa, ni yule ambaye hajawahi kujaribu kitu chochote kipya” ~ Albert Einstein ~
 Mpendwa msomaji wa MAARIFA SHOP ni kwamba kuna kitu kama muujiza karibu kwenye kila kosa lifanyikalo katika maisha yetu ya kila siku. Na muujiza huu unaitwa....

Wednesday, January 13, 2016

Wakati Unatafuta Ajira Fahamu Jambo Hili…..


“Maandalizi mazuri ya kazi nzuri ya kesho ni kufanya kazi nzuri leo”
~ Elbert Hubbard

 
Kati ya changamoto kubwa tunayopitia kwenye dunia ya sasa ni kwamba kila mtu ana fikra na maoni yake. Na kutokana na hali hii, watu wengi wamekuwa wakichukua maoni wanayopewa na kufikiri ndio ukweli. Lakini...

Friday, January 8, 2016

Safari Mpya “2016” Imeanza Unasubiri Nini?


“Wakati wa kuvunja mfumo wa tabia zote zinazokuzuia kufanikiwa ni sasa hivi”

 

Mpendwa msomaji wa MAARIFA SHOP; Je! Unaweza kuamini kuwa tayari tumeishafyeka WIKI MOJA ya mwaka mpya wa 2016?
 ... Endapo na wewe huko kama lile kundi la wengi, basi yawezekana tayari umeanza kusahau yale yote uliyokuwa ukipanga kufanya pindi mwaka mpya wa 2016 utakapofika.  
Heee! Kumbe tayari tumo ndani ya meli iitwayo 2016 ambayo.......

Monday, January 4, 2016

Fumbuka Mtanzania

"Imetosha kusherekea 2016 – Twende Kazini!!"

– Leo wakati naamka asubuhi, nilijikuta nikijisemea maneno moyoni bila kutoa sauti yoyote. Maneno ambayo nilijisemea ni “sherehe za mwaka mpya zimeisha na sasa nikwenda kazini tayari kuanza utekelezaji wa malengo yangu ya 2016.

Hapa ninamaanisha – Haijalishi unayo mikakati ya namna gani au umejiwekea malengo makubwa kiasi gani mwaka huu, BADO hutaona mabadiliko ya kweli, iwapo....