Monday, September 25, 2017

Kama Unaamini Pesa ni Sabuni ya Roho Soma Hapa


Ukweli ni kwamba watu wakipata pesa wanakuwa na furaha sana, kiasi kwamba ukikutana nao unaweza ukadhani ni watu wazuri sana, wanajali sana watu wengine, wana upendo kwa kila mtu. Kumbe yote mabaya yao mengi yanajificha ndani ya furaha itokanayo na kupata pesa. Kutokana na watu kuwa wachangamfu pindi wapatapo pesa, jamii yetu ya kitanzania ina msemo usemao..

Monday, September 18, 2017

Saturday, September 9, 2017

Umezaliwa Leo Kama Mimi Unafikiri Tutashinda Mchezo wa Maisha ya Pesa Lini?



Leo tarehe 9/9/2017 ni siku yangu ya kuzaliwa ambapo nimetimiza umri wa miaka 45 tangu nilipozaliwa. Baada ya siku ya leo, nitaanza safari yangu ya mwaka wa 46, nikiwa mwenye furaha hasa ninapoona kufikia hadi siku ya leo niko hai. Wakati huo huo, nazidi kuyalinganisha maisha yangu kama “mchezo wa mpira”. Maisha ni

Monday, September 4, 2017

Unajua ni Kwanini Tunalipa Pesa Kusoma kwa Lazima?


Katika kufikiria kwangu leo nimegundua kuwa kitu kinachoitwa chuo siyo majengo, viti, vitanda, godoro, walimu, nguo, chakula n.k. Vitu vyote vilivyotajwa vinapatikana majumbani mwetu. Lakini cha kushangaza bado tunakwenda chuoni, licha ya kwamba vitu vyote hivi bado vipo majumbani kwetu. Najiuliza ni kwanini tunaambiwa ni lazima