Saturday, October 22, 2016

Jinsi ya Kuwa Mkubwa Kuliko Matatizo

“Utasonga mbele tu pale utakapoacha kujibinafsisha matatizo yanayoendelea kutokea katika mchakato wa maisha yako” ~ Cypridion Mushongi


Njia mojawapo ambayo ni kisababishi kikubwa cha hisia hasi na hasira ni hali ya kupenda kujibinafsisha au kujimilikisha matatizo yanayoendelea kutokea. Tabia au hali hii ya kupenda kujibinafsisha ni...

Wednesday, October 12, 2016

Biashara Yako Inakutaka Ufanye Yafuatayo



 "Kila utakapoona biashara iliyofanikiwa ujue kuna mtu alifanya maamuzi ya kijasiri" ~ Peter F. Drucker

Watu wengi tunatamani sana kuwa matajiri, lakini wengi wanakata tamaa. Mojawapo ya njia muhafaka itakayotufikisha kwenye utajiri ni “biashara”. Biashara ni

Thursday, October 6, 2016

Utaweza Kuondoa Chuki na Hasira Ulizonazo Kwa Njia Hii


“Nimeamua kujikita kwenye UPENDO...Chuki ni mzigo mkubwa sana kuubeba” ~ Martin Luther King Jr.
Unapoona watu wanatembea, wanaongea na wanacheka, usidhani wengi wana furaha ya dhati. Ukweli ni kwamba watu wengi wana chuki, hasira, kinyogo na kero nyingi ndani yao. Kubwa zaidi ya yote ni kwamba..