Wednesday, May 26, 2021

Kazi ya Kuzalisha Mali ni ya Nani?

 

“Kuajiriwa na kujiajiri yote ni AJIRA siyo KAZI” ~ CYPRIDION MUSHONGI

Kazi mojawapo ambayo tumekuja duniani kuifanya ni kuzalisha mali. Hii ni kazi muhimu sana ambayo inatakiwa kufanywa na kila mtu aliyefikia umri wa kujitegemea. Jambo la ajabu ni kwamba kazi hii wengi wanaikwepa, hasa wale tuliokaa darasani miaka mingi. Sababu za kukwepa jukumu hili ziko nyingi; moja ni..

Thursday, May 6, 2021

Roho ya Kujitegemea Iko Wapi? Itafutwe kwa Hali na Mali.

 “Haikugharimu chochote kujiunga na wengi, inakugharimu kila kitu kusimama peke yako” ~ CYPRIDION MUSHONGI


    Katika hali ya kibinadamu watu wote tunataka maisha mazuri. Maisha mazuri ni hali fulani ya kuishi, ambapo mtu binafsi anakidhi mahitaji yake na kuridhika na hiyo hali. Lakini, ukweli ni kwamba hali ya Maisha tunayoishi kwa kiasi kikubwa ni..

Saturday, May 1, 2021

KAZI Inaleta AJIRA na AJIRA Inamaliza KAZI ni Kweli?

"KAZI uzaa ajira lakini AJIRA haiwezi kuzaa kazi" ~ CYPRIDION MUSHONGI


    Mpaka sasa ajira bado ni tatizo kubwa kwa watu wengi hasa vijana nchini Tanzania na kwingineko duniani. Kukosekana kwa ajira kwa sehemu kubwa kunachangiwa na wadau wengi wa maendeleo kushindwa kubaini chimbuko halisi la ajira. Hali hii inafanya mikakati mingi ya kuongeza ajira kutofanikiwa. Wapo wngine wanaodhani suruhisho la ajira ni...