Sunday, January 29, 2017

Unajua Kwanini Kutaka tu Haitoshi?


"Ili kufanikiwa ni lazima hamu yako ya kubadirika iwe kubwa kuliko hamu ya kubaki ulivyo sasa" ~ Cypridion Mushongi

 
Neno “hamu” limekuwa likitumika visivyo. Mara nyingi, hamu imeelezwa kuwa ni “kile kitu tunachofikiria kupata” Hapana. Hamu ni...

Thursday, January 19, 2017

Unafahamu ni Kwanini Uko Hivi Ulivyo?


“Uwezo wako wa kutawala na kupambana na changamoto za dunia, una uhusiano wa moja kwa moja na jitihada unazoziweka katika kukamilisha kazi~ Cypridion Mushongi

 

Kila binadamu amepewa uwezo mkubwa kama zawadi kwaajili ya kukuwezesha kupata kitu chochote atakacho maishani. Lakini, ili zawadi yako ya uwezo ikunufaishe, unahitaji kufanyia kazi uwezo wako. Ukweli ni kwamba tumepewa uwezo kama zawadi na wakati huo huo kama amri kwasababu,

Thursday, January 12, 2017

Hii ni Njia Sahihi Kujipatia Uhuru wa Fedha




"Usikae kitandani mpaka pale utakapoweza kutengeneza pesa ukiwa kitandani" ~ George Burns
 
Mchakato ni mpangilio wa shughuli mbalimbali ambazo ufanyika hatua kwa hatua mpaka kufikia hatua ya kutoa matokeo yaliyolengwa. Kwa maneno mengine, kitu mchakato ni zaidi ya kukamilisha shughuli moja na hii ndiyo tofauti kubwa kati ya mchakato na shughuli.

Kwa mfano; ukiambiwa kuwa kutajirika ni mchakato, basi fahamu moja kwa moja kuwa utahitajika kufanya shughuli nyingi hatua kwa hatua kwa kipindi kisichopungua miaka

Sunday, January 8, 2017

Je? Wewe ni Mwekezaji au Mfanyabishara



"Soko la hisa ni kifaa cha kuhamisha pesa kutoka kwa watu wasiokuwa na subira kwenda kwa wenye subira” ~ Warren Buffet.

Kwa mwaka huu wa 2017, unahitaji mwanga ili pale palipokuwa hapaonekani paonekane na wewe ikuwie rahisi kupita kwa lengo la kwenda kwenye mafanikio hasa ya uhuru wa fedha (kipato). Ukweli ni kwamba huwezi kufikia maisha ya kiwango cha kupata uhuru wa fedha au kipato kama bado..