Friday, February 26, 2016

Fahamu Kwanini Tunasema Muda Siyo Tatizo!



“Kila mtu anatenga muda mwingi kufanya kazi anazotaka zifanyike na hatengi muda kabisa kufanya kazi ambazo hataki”.
Imekuwa ni kawaida watu wengi kulalamika kuhusu kutokupata muda wa kufanya shughuli fulani fulani. Nadhani ni mara nyingi umesikia kauli za kulalamikia ukosefu wa muda wa kufanya kazi fulani fulani. Malalamiko haya, yanatokana na.....

Tuesday, February 23, 2016

Unajua Kwanini Pesa ni Ngumu Kupatikana?



“Kutokuwa na pesa ni chanzo cha mabaya mengi” ~George Bernard Shaw.


Binadamu ili apate kufahamu kitu fulani lazima picha iliyoko kichwani ilingane na kufanana na kitu unachotafuta. Endapo picha zikipishana lazima itakuwa vigumu sana kupata hicho unachotafuta. Mara nyingi, tatizo hili la kupishana kwa picha linatokea zaidi kwa vitu vingi ambavyo siyo....

Friday, February 19, 2016

Unadhani Pesa Uliyonayo ni Kidogo au Nyingi?



 "Mungu hakupi pesa kidogo au nyingi, anakupa tu kile kiasi unachohitaji”.



Kwasasa wapo watu wengi wanaodhani kuwa wao wanazo pesa kidogo na wangependelea Mungu awaongezee. Pia kuna wale wachache ambao wanadhani wanazo pesa nyingi lakini.......

Tuesday, February 16, 2016

Hii Ndiyo Faida Upatayo Ukikubali Mtoto Awe Mwalimu Wako



“Watu waliofanikiwa sana katika maisha ni wale ambao upenda kuuliza maswali. Wanajifunza kila wakati. Wanakua kila wakati. Wanajisukuma mbele kila wakati.” – Robert Kiyosaki
 

Mwaka 2013 nilialikwa na kushiriki katika sherehe ya jubilee ya Baba Askofu Dk. Benson Bagonza wa KKKT Dayosisi ya Karagwe. Jubilee hiyo ilikuwa ni ya kutimiza miaka 50 ya kuzaliwa kwake, miaka 20 ya ndoa na miaka 10 ya uaskofu. Sherehe hiyo ilitanguliwa na ibada maalum ambayo iliongozwa na Baba Askofu mwenyewe.

Katika mahubili yake siku hiyo.....

Tuesday, February 9, 2016

Muda wa Ziada Utakukwamua Namna Hii


“Yale unayofanya wakati wa muda wako wa ziada ndiyo yanakuweka huru au utumwani” ~Jarod Kintz
 

Utafiti uliofanyika duniani umeonyesha kuwa wengi wa wajasiriamali waliofanikiwa, walianza biashara zao kwa kutumia muda wao wa ziada. Ni mara ngapi umesikia mtu akisema “ningependa kufanya biashara hii LAKINI tatizo sina muda?” Unapoona mtu akwambia sina muda maana yake ni....

Saturday, February 6, 2016

Njia Mpya ya Kununua Muda Wako Tena Imefahamika


“Falsafa ya matajiri na masikini ni hii hapa: Matajiri wanawekeza pesa yao na kutumia kiasi kinachobaki, Masikini wanatumia pesa yao na kuwekeza kiasi kinachobaki” ~ Robert Kiyosaki
 
Hali ya umaskini katika jamii yetu kwa kiasi kikubwa imesababishwa na watu wengi kuuza muda wao kwa watu wengine. Dunia ya leo bado inatawaliwa zaidi na kundi la watu ambao biashara yao ya kila siku ni kuuza muda kwa lengo la kujikimu kimaisha. Katika ulimwengu wa kutafuta riziki (kipato), tunapata kuona aina kuu tatu za kipato ambazo ni.....

Wednesday, February 3, 2016

Kuishi Maisha ya Chapati ni Hatari Tupu!



“Umaskini Unakuja Kwako Bila Gharama Yoyote LAKINI Unaondolewa kwa Gharama Kubwa Sana”


Chapati ni bidhaa ambayo ni chakula tunachokipenda sana na pia ni bidhaa inayokubalika na kuhitajika kwa kiasi kikubwa katika maeneo mengi ya hapa nchini Tanzania. Lakini......