Sunday, August 28, 2016

Mjasiriamali Tanzania ni Nani?



Neno mjasiriamali ni miongoni mwa maneno yanayotamkwa sana kila siku, hapa Tanzania. Kwa hali iliyopo hivi sasa, ni kana kwamba wajasiriamali ni wengi sana Tanzania. Sababu ya kudhani kwamba kuna wajasiriamali wengi ni..

Tuesday, August 23, 2016

Utajiri Wako Unachelewa Kwasababu Moja






Kwa jinsi binadamu tulivyo, tunaweza kuona vitu vyote ambavyo havionekani mbele ya macho yetu. Ukifuatilia kwa undani unagundua kuwa vitu ambavyo tunaambiwa na kuamini kuwa havionekani, kiuhalisia vitu vyote vyaweza kuonekana endapo ukiamua. Kwa mazoea, wengi tunafikiri kwamba kama kitu hakionekani mbele ya macho yetu ya kawaida, basi tunasema...