Monday, February 20, 2017

Je ni Kweli Kila Tatizo Lililopo Duniani ni Biashara?



“Maskini anatumia muda wake mwingi kufanya kazi za watu wengine na akilipwa pesa anaitumia yote kununua suruhisho kutoka kwa watu wengine ili kutatua matatizo yake” ~ Cypridion Mushongi.
 
Kila wakati inapotajwa biashara, wengi wetu tunawahi kufikiri kuwa ni kununua vitu kwa bei ya chini na kuuza kwa bei ya juu. Hii siyo maana halisi ya neno “biashara”. Biashara ni..

Monday, February 13, 2017

Kiongozi Wako Mkuu ni Nani?


“Kama nina funguo za mlango wa asilimia 90 ya mafanikio yangu, sitajali sana endapo funguo za mlango wa asilimia 10 zitapotea” ~ Cypridion Mushongi.
 
Kuwepo kwa uongozi wa pamoja kumetupumbaza wengi kiasi kwamba watu wengi tumejenga tabia ya utegemezi wa fikra na mtazamo. Muda mwingi tumekuwa na matarjio makubwa kutoka kwenye uongozi wa pamoja. Lakini ikumbukwe kuwa uongozi wa pamoja au wa jumla unatokana na uongozi wa mtu mmoja mmoja. Bila kuimarika  kwa uongozi wa mtu mmoja mmoja, maisha..

Monday, February 6, 2017

Una Malalamiko Juu ya Biashara Yako?




"Tabia ya kulalamika inatokana na mfumo wa ajira ambao uwapa nafasi waajiriwa kupeleka malalamiko ngazi za juu endapo wanaona mambo hayaendi sawa---WAJASIRIAMALI TUSIWAIGE WAAJIRIWA"~ Cypridion Mushongi

Mbona unalalamika kila siku kwamba biashara yako ni ngumu? Kwani wewe ulianzisha biashara yako kwa lengo gani? Malalamiko kutoka kwa wajasiriamali imekuwa ni sehemu ya Maisha yao. Kila unapojaribu kuongea na wajasiriamali lazima usikie malalamiko mengi ikiwemo--