Tuesday, March 29, 2016

Unapata Faida Gani Kwenye Woga?



 "Kitu pekee tunachoweza kuogopa ni woga wenyewe" ~ Franklin D. Roosevelt



Jiulize leo: “Ni faida kiasi gani unaweza kutengeneza kutokana na woga?. Na hii ndiyo sababu ya kwanini nimelazimika kuangalia moja kwa moja kwenye macho ya “WOGA” bila woga.....

Neno woga...

Saturday, March 19, 2016

Elimu ya Ujasiriamali Haipo Chuoni Iko Wapi?

“Usione aibu kutokana na kushindwa, jifunze kutokana na kushindwa na uanze tena” ~ Richard Branson, mwanzilishi wa kampuni ya Virgin Group.

Mara nyingi shuleni tulifundishwa kutii sheria na taratibu kama siyo kanuni; kufanya vitu kwa kutumia vitabu na kama ukionekana ukikaa mbali na kundi, haraka haraka unasukumwa tena kwenye tanuru ambalo hasa ni......

Tuesday, March 15, 2016

Ukiendelea Kutafuta Muda Utazidi Kuhailisha Mengi ya Muhimu!


“Muda ni bure lakini huwezi kuuza kwa bei yoyote, huwezi kuumiliki lakini unaweza kuutumia, Huwezi kuutunza lakini unaweza kuupoteza, ukishakuwa umeupoteza huwezi kuupata tena” ~ Harvey Mackay
 
Watu wengi tuko busy sana katika kutafuta muda eti! Wa kufanya mambo makubwa maishani. Lakini imeonekana kuwa pamoja na kutafuta muda, bado haupatikani kirahisi, kwani malalamiko ya watu kuhusu kukosa muda wa kutenda kazi mbalimbali ni mengi.

Nadhani na wewe umesikia mara nyingi watu wakilalamika kuwa wanashindwa kufanikisha jambo fulani kwasababu ya uhaba wa muda. Malalamiko haya yanatokana na.....

Wednesday, March 2, 2016

Siri ya Faida Kuwa Bora Kuliko Mshahara Imefichuka


“Lengo la biashara yoyote ni kutoa suruhisho ya matatizo ya watu-kwa FAIDA” ~ Paul Marsden
Pesa ambayo huwa tunapata mara zote utoka kwenye mifumo mikuu miwili ambayo ni “mfumo wa mshahara” na “mfumo wa FAIDA”. Kati ya mifumo hiyo, mfumo wa mshahara ndio unaotegemewa na kuaminiwa na watu wengi. Lakini...