“Miradi ya Biashara ni Viumbe Hai” ~ Cypridion Mushongi
Mwandishi wa vitabu anayejulikana kama 'Napoleon Hill' aliandika kwenye kitabu chake cha ‘THINK & GROW RICH’ kwamba “Mawazo ni vitu”. Ndiyo maana tunasema, miradi mingi ya biashara..
tunayoiona leo ilianzia vichwani mwa wajasiriamali kama wazo. Mjasiriamali anapoanzisha mradi wa biashara ni sawa na kufanya kazi ya uumbaji wa kitu kinachokwenda kuishi hadi hapo atakapoamua kife.
Kwa mtazamo wa uumbaji wa wazo na vitu, ni wazi kwamba “Miradi ya Biashara ni Viumbe Hai”.
Ndiyo kusema kwamba biashara yoyote inazaliwa, inakua, inaishi na ikibidi inakufa.
Ndiyo kusema kwamba biashara yoyote inazaliwa, inakua, inaishi na ikibidi inakufa.
Ili biashara yako iweze kukua na kuishi kwa muda mrefu, inahitaji ‘mazingira’ mazuri ambayo yatasaidia kukua na kuishi kwa miaka mingi ijayo.
Dhana ya ‘mazingira’ kwa biashara, inamaanisha kila hali inayokuzunguka wewe pamoja na biashara yako.
Katika hali ya kawaida, kukua na kuishi kwa biashara yako kunataka 'mazingira rafiki' ambayo yanatengenezwa na wewe mwenyewe kama mmiliki.
Dhana ya ‘mazingira’ kwa biashara, inamaanisha kila hali inayokuzunguka wewe pamoja na biashara yako.
Katika hali ya kawaida, kukua na kuishi kwa biashara yako kunataka 'mazingira rafiki' ambayo yanatengenezwa na wewe mwenyewe kama mmiliki.
Suala la kutengeneza 'mazingira rafiki' ni lazima na siyo jambo la hiari au utashi binafsi!
Biashara inapoanzishwa, inamtaka mmiliki kuwa na tabia zinazoendana na mahitaji ya biashara yenyewe.
Tabia yako kama mmiliki ni kiungo muhimu sana katika kujenga mradi wa biashara wenye tija, kwani tabia ambayo ni kinyume cha matakwa ya mradi, inaweza kudhoofisha sana biashara yako.
Ukianzisha mradi wa biashara, usiangalie tu ile bidhaa au huduma unayokwenda kuzalisha au kuuza! Badala yake angalia pia tabia yako wewe kama mmiliki.
Wajasiriamali wengi wanazichukulia biashara zao juu juu tu! Kiasi kwamba hawatambui ni kwa kiasi gani tabia zao kama wao zinavyoweza kuathiri ustawi na ukuaji wa miradi mbalimbali ya biashara zao.
Kutokutambua athari mbalimbali zinazotokana na tabia za mmiliki, kumesababisha USHINDANI kutokea ndani – yaani mmiliki anakuwa 'mshindani' wa biashara aliyoianzisha yeye mwenyewe. Kwa maana nyingine mjasiriamali unashindwa kutii matakwa ya biashara yako ndiyo maana tunakuita 'Ushindani'. Kwa mfano;
Naweza kusema kuwa mifano kuhusu namna ambavyo tumekuwa 'Washindani' wa biashara zetu wenyewe ni mingi sana.
Biashara inapoanzishwa, inamtaka mmiliki kuwa na tabia zinazoendana na mahitaji ya biashara yenyewe.
Tabia yako kama mmiliki ni kiungo muhimu sana katika kujenga mradi wa biashara wenye tija, kwani tabia ambayo ni kinyume cha matakwa ya mradi, inaweza kudhoofisha sana biashara yako.
Ukianzisha mradi wa biashara, usiangalie tu ile bidhaa au huduma unayokwenda kuzalisha au kuuza! Badala yake angalia pia tabia yako wewe kama mmiliki.
Wajasiriamali wengi wanazichukulia biashara zao juu juu tu! Kiasi kwamba hawatambui ni kwa kiasi gani tabia zao kama wao zinavyoweza kuathiri ustawi na ukuaji wa miradi mbalimbali ya biashara zao.
Kutokutambua athari mbalimbali zinazotokana na tabia za mmiliki, kumesababisha USHINDANI kutokea ndani – yaani mmiliki anakuwa 'mshindani' wa biashara aliyoianzisha yeye mwenyewe. Kwa maana nyingine mjasiriamali unashindwa kutii matakwa ya biashara yako ndiyo maana tunakuita 'Ushindani'. Kwa mfano;
"Biashara inataka uamke kila siku saa 10 alfajiri, lakini wewe unashindana kwa kusema usingizi wa asubuhi ni mtamu".
"Biashara inataka utenge asilimia kumi (10%) kama akiba ya kulinda mtaji, wewe unashindana kwa kutumia pesa yote katika vitu visivyohusiana na biashara yako".
"Biashara inataka kuwa na kauli nzuri kwa wateja, wewe unashindana kwa kutoa lugha zenye kuudhi wateja"…
"Biashara yako inakutaka kuwa msafi na nadhifu wewe unashindana kwa kutojali uchafu uliopo kwenye mazingira ya biashara"….n.k.
Kutokana na uwepo wa aina hii ya 'Ushindani', biashara nyingi zimeporomoka na nyingine kufa kabisa.
Ni muhimu kuwa makini na aina hii ya 'Ushindani' kwasababu mara nyingi haujulikani na hauonekani kirahisi.
Kwahiyo, badala ya kuelekeza fikra na nguvu zote kwenye bidhaa inayozalishwa au kuuzwa peke yake, ni muhimu pia kuangalia upande wa tabia ya mmiliki wa biashara husika.
Ndugu mjasiriamali, unalo jukumu kubwa la kutambua tabia gani ni za muhimu kuzifanyia kazi kwa lengo zima la kukuza na kusitawisha biashara yako.
Katika kulifanyia kazi hili, jiulize swali; “Biashara yangu inataka mabadiliko ya tabia zipi na zipi?” Ukifahamu aina ya tabia zinazohitajika itakusaidia sana “KUEPUKA USHINDANI DHIDI YA BIASHARA YAKO.
Ni muhimu kuwa makini na aina hii ya 'Ushindani' kwasababu mara nyingi haujulikani na hauonekani kirahisi.
Kwahiyo, badala ya kuelekeza fikra na nguvu zote kwenye bidhaa inayozalishwa au kuuzwa peke yake, ni muhimu pia kuangalia upande wa tabia ya mmiliki wa biashara husika.
Ndugu mjasiriamali, unalo jukumu kubwa la kutambua tabia gani ni za muhimu kuzifanyia kazi kwa lengo zima la kukuza na kusitawisha biashara yako.
Katika kulifanyia kazi hili, jiulize swali; “Biashara yangu inataka mabadiliko ya tabia zipi na zipi?” Ukifahamu aina ya tabia zinazohitajika itakusaidia sana “KUEPUKA USHINDANI DHIDI YA BIASHARA YAKO.
Unahitaji MAARIFA kuuona ni jinsi gani wewe kama mmiliki unakuwa ‘Mshindani’ mkuu wa biashara yako. Kupitia elimu na ujuzi unaopatikana hapa MAARIFASHOP utaweza kujipatia fikra mpya na mbadala zitakazosaidia kufanikia maisha ya ndoto yako.
Unaweza kupata makala mpya kila zinapochapishwa, kwa kubofya neno MAKALA MPYA kisha sajiri E-mail yako. Kwa wale wapenzi wa kupata mafunzo kwa kupitia simu janja bofya neno MAFUNZO.
1 comment:
PESA AU UTAJIRI MKUBWA WA MAJINI,, NDAGU NA PETE YA BAHATI,,
======= KUTANA NA MGANGA BINGWA WA TIBA ZA ASILI ,,BINGWA WA TIBA ZA MAPENZI ,,BIASHARA NA KUKUPA UTAJIRI MKUBWA WA MAJINI NA NDAGU,, SI MWENGINE NI DR.Mdiro
MAWASILIANO
WHATSAPP +255742162843
KWA WALIO NJE YA NCHI TUMIENI WHAT'S UP KWA MAWASILIANO
Malipo ni baada ya mafanikio
====Natibu magonjwa sugu kisukali presha kifafa nguvu za kiume uzazi chango ngiri busha ganzi miguu,,tumbo gesi,,maumivu ya mwili,,ndoto mbaya,,na kutafasri maana ya ndoto unazo ota ,, nk
===== Nasafisha nyota,,kutoa mikosi,,nuksi,,kutoa majini mabaya,,kutoa chuma ulete kwenye biashara,, kupandishwa nyota,, kupandishwa cheo,, kupata kazi,, kushinda kesi,,kulipa kisasi kwa ulicho fanyiwa nao wajisikie vibaya Kama wewe ilivyo jisikia,,nk
===== Kumrudisha mpenzi mchumba mume mke uliye tengana nae ,,au kakutelekeza,, kumshika mme wako au mpenzi wa mtu awe anakusaidia na kukutimizia mahitaji Kama NI mpenzi wako,, au Kama anakutaka awe anakupa pesa bila kumuomba ,,
===== Kumrudisha mke mme kwenye himaya yako tena kama mmeachana na unahitaji muwe pamoja au muishi wote Kama zamani,,au Kama humuitaji yeye unataka pesa zake tu pia atakusaidia hata bila kumpa pezi lako,,
=====Kumilikishwa Mali au utajiri mkubwa wa majini,, kupata utajiri mkubwa wa ndagu,,kupata utajiri mkubwa wa freemason,, kukupa utajiri mkubwa kuliko wengine utajiri wa Pete ya bahati ambayo itakuvutia mali pesa na itakupa mvuto mkubwa wa kupendwa na watu,,
===== Kukupa chuma ulete,,kukupandisha nyota ya uganga,, kukupa karama ya kumiliki uchawi,, kukupa nyota ya kushinda bahati nasibu au kamali,, kukupa kinga ya kiwaona wabaya ,, kuona matatizo yako,, kukupa mvuto mkubwa wa kuolewa au kuoa Kama unamchumba au huna kabisa yaani ajitokezee mwenyewe aseme anataka kukuoa au umuowe,,
===== NJOO NIKUHUDUMIE,, PIA NATIBU HATA UKIWA MBALI NAMI UWE MKOANI AU NCHI NYINGINE HUDUMA UTAIPATA KWA HARAKA NA UTAFANIKIWA KWA MDA MFUPI TU,,
====KWA UTAJIRI MKUBWA WA MAJINI
====KWA UTAJIRI MKUBWA
Post a Comment