
MAARIFASHOP ni mtandao unaokupa maarifa mengi ya kukuwezesha kushinda changamoto nyingi za kiuchumi na maisha kwa ujumla. Kumbuka maandiko yanasema "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa"
Monday, March 27, 2017
Pesa Inatakiwa Kuja Kwako Kwasababu Hii

Monday, March 20, 2017
Utajiri au Umaskini Utokana na Nini?

Kila mmoja ninaamini anao uwezo wa kuwa tajiri, isipokuwa binadamu huwa na fikra tofauti juu ya mambo yale yale. Kitu kilichoko akirini mwako ndicho kinacho leta tofauti ya hali ya Maisha unayoishi kwa sasa . Maana yake ni kwamba, jinsi ulivyo wewe ni zao la yale yote unayofikiri kila siku. Watu waliofanikiwa kuwa matajiri, wana mambo kama 5 ambayo wameyafanya kuwa kama kanuni zao za kudumu na kwakuwa ni kanuni, wao huzitekeleza na kuziishi kila siku. Kanuni zenyewe ni....
Monday, March 13, 2017
Ugonjwa wa Kuchoka Unatumaliza!
“Chanzo kikuu cha ugonjwa wa kuchoka ni watu wengi kufanya kazi ambazo hawazipendi” ~ by Cypridion Mushongi.
Ugonjwa ni hali ya kutojisikia vizuri, na wakati mwingine hali hii uambatana na maumivu makali sana. Katika ulimwengu wa afya, magonjwa yamegawanyika katika makundi makuu mawili. Kundi la kwanza ni magonjwa ya kuambukiza, mfano: kipindupindu, malaria, ukimwi n.k.
Kundi la pili ni
Kundi la pili ni
Monday, March 6, 2017
Ukibadili Unavyofikiri Hiki Kitatokea Maishani Mwako
"Hatuwezi kutatua matatizo kwa kutumia fikra zile zile zilizosababisha matatizo hayo kutokea" ~Albert Einstein
Subscribe to:
Posts (Atom)