
MAARIFASHOP ni mtandao unaokupa maarifa mengi ya kukuwezesha kushinda changamoto nyingi za kiuchumi na maisha kwa ujumla. Kumbuka maandiko yanasema "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa"
Monday, May 22, 2017
Tabia ya Pata Tumia Pesa Inakukwamisha Namna Hii

Monday, May 15, 2017
Jifunze Kwanini Tunasema Hakuna Makosa Duniani
Mojawapo ya vitu ambavyo vinachukiwa sana na binadamu ni kitu kinachoitwa “makosa”. Jambo hili la makosa linaogopwa sana kutokana na ukweli kwamba, wengi wetu tumekulia na kulelewa katika mfumo ambao ni watu wachache kwa nafasi zao wanaamua na kushawishi juu ya nini kifanywe na wengine ambao ni wengi.
Maana yake ni kwamba, watu wengi licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuamua juu ya
Maana yake ni kwamba, watu wengi licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuamua juu ya
Monday, May 8, 2017
Monday, May 1, 2017
Leo ni Siku ya Wafanyakazi au Siku ya Wenyekazi Duniani

Kusherekewa kwa siku hii ya “Mei Mosi” kunathibitisha mambo makuu mawili, ambayo ni
Subscribe to:
Posts (Atom)