Wednesday, July 31, 2024

Biashara Ina Mshindani Hatari Huyu Hapa

 

Miradi ya Biashara ni Viumbe Hai” ~ Cypridion Mushongi
Mwandishi wa vitabu anayejulikana kama 'Napoleon Hill' aliandika kwenye kitabu chake cha ‘THINK & GROW RICH’ kwamba Mawazo ni vitu. Ndiyo maana tunasema, miradi mingi ya biashara..

Tuesday, July 23, 2024

Kuna Uzuri Gani Katika Kushindwa?



Je, wewe ni kati ya wale wanaoshangaa kuona ‘kushindwa’ ni jambo zuri? Mmmh! Unaona kama utani hivi, Hapana! Siyo utani! Ni ukweli, watu wengi tunashindwa kila..

Thursday, July 11, 2024

Mikopo na Mifugo ni Marafiki Kwasababu Hii Hapa:


Mikopo ilianza zamani sana takribani miaka 3,000 iliyopita. Tangu kuanza kwa ustaarabu wa binadamu, mikopo imekuwepo katika sura mbalimbali kwa kipindi chote cha maisha ya binadamu. Historia ya ukopeshaji inatuonyesha kuwa..

Wednesday, July 3, 2024

Mjasiriamali Biashara yako Inakufa Kwasababu hizi

∞∞∞ "Ni bora kuishi na mtu aliyeshindwa kuliko mtu mwenye Mashaka ~ Cypridion Mushongi" ∞∞∞

Biashara ni mradi au mfumo unaotengenezwa na mjasiriamali kwa lengo la kuzalisha bidhaa au huduma inayokidhi mahitaji ya wanajamii (wateja) mbalimbali duniani. 

Wakati wote, biashara inapoendelea kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake, hapo tunasema kuwa “Biashara yako ni hai na inaishi”. Tunasema biashara “imekufa” endapo..