“Pesa ya kula ni sumu ya maendeleo na utajiri” – Cypridion Mushongi

Kila mmoja anajitahidi kutafuta pesa popote anakojua. Habari njema ni kwamba kila anayetafuta pesa hii ya KULA anapata. Lakini..
MAARIFASHOP ni mtandao unaokupa maarifa mengi ya kukuwezesha kushinda changamoto nyingi za kiuchumi na maisha kwa ujumla. Kumbuka maandiko yanasema "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa"
“Pesa ya kula ni sumu ya maendeleo na utajiri” – Cypridion Mushongi


"Ukijaribu na Kushindwa Mara Nyingi Sana Kinachobaki ni Kufanikiwa" ~ Cypridion Mushongi
Pesa yoyote halali inapatikana kwa kufanya kazi halali. Kufanya kazi kwa juhudi na maarifa kutategemea sana uwepo wa nishati au nguvu mwilini. Nishati mwilini ni kitu cha kwanza na cha msingi katika kuleta ubora wa maisha yetu. Nishati au nguvu mwilini inapatikana kutokana na vyakula tunavyokula. Pia, tufahamu kuwa nishati ipatikanayo mwilini utumika katika kufanya shughuli za ndani ya mwili na shughuli za nje ya mwili kama zile za uzalishaji mali. Tatizo lililopo kwasasa ni... “Kuwa mkweli juu yako na watu sahihi watajitokeza kwako” ~ Cypridion Mushongi

Watu wengi wana mawazo mazuri, wana ndoto kubwa, lakini mojawapo ya sababu ya kwanini hakuna kinachofanyika ni kwamba wengi tunaongea sana. Utakuta mtu ndo kwanza amepata wazo la kufanya kitu fulani, lakini saa hiyo hiyo anaanza kuwashirikisha anaowaita marafiki zake. Na kuanzia hapo inakuwa kila siku ni...“Fikra ni viumbe hai” ~ Swami Sivananda
Siku zote, maisha ni kile ufanyacho kuanzia pale unapoamka kitandani asubuhi hadi pale unapokwenda kulala au unapomaliza siku yako. Kwa maneno mengine ni kwamba, kila unapoamka mapema asubuhi, maana yake umeanza maisha upya. Wengi wetu hatujaweza kutambua thamani kubwa iliyopo katika masaa haya ya kuanzia tunapoamka kitandani hadi pale tunapopata kifunguakinywa. Ukweli ni kwamba, masaa ya kabla ya kifunguakinywa ni