Thursday, January 12, 2017

Hii ni Njia Sahihi Kujipatia Uhuru wa Fedha




"Usikae kitandani mpaka pale utakapoweza kutengeneza pesa ukiwa kitandani" ~ George Burns
 
Mchakato ni mpangilio wa shughuli mbalimbali ambazo ufanyika hatua kwa hatua mpaka kufikia hatua ya kutoa matokeo yaliyolengwa. Kwa maneno mengine, kitu mchakato ni zaidi ya kukamilisha shughuli moja na hii ndiyo tofauti kubwa kati ya mchakato na shughuli.

Kwa mfano; ukiambiwa kuwa kutajirika ni mchakato, basi fahamu moja kwa moja kuwa utahitajika kufanya shughuli nyingi hatua kwa hatua kwa kipindi kisichopungua miaka

Sunday, January 8, 2017

Je? Wewe ni Mwekezaji au Mfanyabishara



"Soko la hisa ni kifaa cha kuhamisha pesa kutoka kwa watu wasiokuwa na subira kwenda kwa wenye subira” ~ Warren Buffet.

Kwa mwaka huu wa 2017, unahitaji mwanga ili pale palipokuwa hapaonekani paonekane na wewe ikuwie rahisi kupita kwa lengo la kwenda kwenye mafanikio hasa ya uhuru wa fedha (kipato). Ukweli ni kwamba huwezi kufikia maisha ya kiwango cha kupata uhuru wa fedha au kipato kama bado..

Saturday, December 31, 2016

Funga Mwaka ya Uchumi ni Hii Hapa



 
Mahitaji ya binadamu ni mengi sana na hayana kikomo. Mahitaji haya yamegawanyika katika makundi makuu mawili yaani “Vitu/Bidhaa” na “Huduma”. Pamoja na mahitaji mengi ya binadamu, mtu mmoja mmoja hawezi kuzalisha na kujitoshereza kwa kila kitu. Ndiyo maana binadamu wengi uendesha maisha yao kwa

Sunday, November 13, 2016

Je? Unatafuta Utajiri Au Unaangaika Kuwa Maskini


“Mtu aliye na tabia ya kuangaika vile vile ana tabia ya kutaka kila kitu apate leo leo, mwisho wake anaambulia kupata vitu vidogo vidogo” ~ Cypridion Mushongi
 
Leo wakati natafakari juu ya utajiri, nimekumbuka sana mwanzoni mwa miaka ya 2000. Miaka hiyo nilikuwa na rafiki yangu ambaye alizoea kusema “Mwaga mtama kumkamata kuku kirahisi na usiangaike kumkimbiza kuku unaweza kuvunjika mguu kabla ujamkamata”. Ni kawaida kukuta watu wakikimbiza kuku pindi wanapohitaji kitoweo. Hali hii huwafanya wengine kuumia kwasababu ya kutumia nguvu nyingi kupita kiasi.

Tabia ya kumkimbiza kuku kila mara tunapohitaji kitoweo, inafanana sana na tabia tuliyonayo katika kutafuta utajiri. Ukifuatilia kwa undani utagudua kuwa michakato yetu ya kutafuta utajiri ni

Sunday, November 6, 2016

Tofauti ya Kuwa Tajiri na Kuonekana Tajiri Iko Hapa


“Dawa ya kutibu ugonjwa wa kujiona tajiri ni kuweka ndoto ya maisha mazuri unayoyataka kwa maandishi” ~ Cypridion Mushongi
Katika mchakato wa kutafuta utajiri kuna dhamira kuu mbili zinazotuchochea kufanya kila tunachokifanya, ili kutimiza ndoto ya kutajirika. Dhamira ya kwanza ni ile mtu anapolenga kuonekana tajiri machoni mwa watu wengine na dhamira ya pili ni