Saturday, December 30, 2017

Unaposikia Uwekezaji Katika Hisa Unapata Picha Gani?



“Mtu anayeuza hisa ni sawa na mtu anayeuza kuku wakati anapenda mayai” ~ Cypridion Mushongi
Neno "hisa" limekuwa maarufu sana miongoni mwa watanzania. Umaarufu wa neno hili umekua kutokana na kuenea kwa taasisi za VICOBA na SACCOS maeneo yote nchini yaani mijini na vijijini. Pamoja na watu wengi kuanza kushiriki zoezi la kununua na kumiliki hisa katika hatua mbalimbali, bado wengi wanakiri kuwa uelewa wao juu ya..

Monday, November 20, 2017

Unafahamu Makosa ni Mfuko Ulioficha Vitu Vizuri?




Kwenye mchakato wa biashara, ujasiriamali na maisha kwa ujumla, kuna makosa mengi yanayoendelea kufanyika. Wakati mwingine utulazimu kulipa gharama kubwa, ili kurekebisha makosa yaliyofanyika. Kwahiyo, tuseme kwamba makosa ni gharama, ndiyo maana wengi ujitahidi sana kukwepa kufanya makosa—Japo bado wanafanya makosa!! Lakini,

Monday, November 6, 2017

Kwanini Tunahitaji Umakini Kwenye Biashara?



 
Biashara au uwekezaji wowote unahitaji msingi imara, ili kuweza kukua na kuleta faida kwa mmiliki. Ukiwa na msingi imara kiwango cha hatari ya kushindwa kinapungua kwa kiasi kikubwa.

Chukulia mfano wa ujenzi wa nyumba; ukiwa unajenga nyumba unahitaji msingi imara, ili kuepuka nyumba yako kuanguka baadae. Ili kuufanya msingi wa nyumba yako kuwa imara, lazima unahitaji..

Monday, October 23, 2017

Athari za Kupenda Kuonekana Sahihi Mbele za Watu ni Hizi



 
Kuonekana umefanya makosa mbele za watu ni kitu kinachotishia utambulisho wa mtu, ndiyo maana watu wengi wanachukulia kufanya makosa kama jambo la kurudi nyuma. Mtazamo wa waliowengi ni kwamba kwenda mbele ni pale tu wenzako wanapokuona uko sahihi kwa mtazamo wao binafsi. Kutaka kuonekana sahihi mbele ya macho ya wenzako ndiyo usababisha

Monday, October 9, 2017