“Mtu anayeuza hisa ni sawa na mtu anayeuza kuku wakati anapenda mayai” ~ Cypridion Mushongi
MAARIFASHOP ni mtandao unaokupa maarifa mengi ya kukuwezesha kushinda changamoto nyingi za kiuchumi na maisha kwa ujumla. Kumbuka maandiko yanasema "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa"
Saturday, December 30, 2017
Unaposikia Uwekezaji Katika Hisa Unapata Picha Gani?
Monday, November 20, 2017
Unafahamu Makosa ni Mfuko Ulioficha Vitu Vizuri?
Monday, November 6, 2017
Kwanini Tunahitaji Umakini Kwenye Biashara?

Biashara au uwekezaji wowote unahitaji msingi imara, ili kuweza kukua na kuleta faida kwa mmiliki. Ukiwa na msingi imara kiwango cha hatari ya kushindwa kinapungua kwa kiasi kikubwa.
Chukulia mfano wa ujenzi wa nyumba; ukiwa unajenga nyumba unahitaji msingi imara, ili kuepuka nyumba yako kuanguka baadae. Ili kuufanya msingi wa nyumba yako kuwa imara, lazima unahitaji..
Monday, October 23, 2017
Athari za Kupenda Kuonekana Sahihi Mbele za Watu ni Hizi
Kuonekana umefanya makosa mbele za watu ni kitu kinachotishia utambulisho wa mtu, ndiyo maana watu wengi wanachukulia kufanya makosa kama jambo la kurudi nyuma. Mtazamo wa waliowengi ni kwamba kwenda mbele ni pale tu wenzako wanapokuona uko sahihi kwa mtazamo wao binafsi. Kutaka kuonekana sahihi mbele ya macho ya wenzako ndiyo usababisha
Monday, October 9, 2017
Subscribe to:
Posts (Atom)


