Friday, September 16, 2016

Fahamu Kwanini Kesho si Rafiki wa Mafanikio Yako





Katika maisha yetu ya kila siku,  neno “kesho” linatumika sana kama njia pekee ya kuhairisha mambo mengi, ambayo kimsingi yalitakiwa yafanyike “leo”. Kesho ni miongoni mwa maneno yanayopendwa kutumiwa kama kinga ya kukataa kutimiza majukumu fulani ya leo. Badala ya mtu kusema “HAPANA” kitu hiki, anajibanza nyuma ya...

Friday, September 9, 2016

Miaka 45 ya Kuzaliwa Tumezeeka au Tumekua?




Mara nyingi watu wengi tunapozeeka udhania kwamba tumekua kumbe ndio kwanza tunazidi kuwa watoto wachanga. Mafanikio makubwa yanapatikana kwa urahisi kwa wale tu waliokua na si waliozeeka.  Ukikua ndipo unapata-

Friday, September 2, 2016

Mwajiriwa Jilipe Kwanza Mjasiriamali Ufanye Nini?


"Sisi kama wajasiriamali wa kweli lengo letu la kuanzisha biashara sio kwaajili ya kupata MSHAHARA bali ni kujenga VIINGIZA-PESA~ Cypridion Mushongi


Sifa kuu ya mwajiriwa huwa ni kulipwa “mshahara au ujira”. Maana yake ni kwamba yule aliyekuajiri anawajibika kukulipa muda wako ambao umeutumia kwenye biashara yako. Haijalishi mshahara wako ni mkubwa au mdogo kiasi gani bali mshahara wako ni..

Sunday, August 28, 2016

Mjasiriamali Tanzania ni Nani?



Neno mjasiriamali ni miongoni mwa maneno yanayotamkwa sana kila siku, hapa Tanzania. Kwa hali iliyopo hivi sasa, ni kana kwamba wajasiriamali ni wengi sana Tanzania. Sababu ya kudhani kwamba kuna wajasiriamali wengi ni..

Tuesday, August 23, 2016

Utajiri Wako Unachelewa Kwasababu Moja






Kwa jinsi binadamu tulivyo, tunaweza kuona vitu vyote ambavyo havionekani mbele ya macho yetu. Ukifuatilia kwa undani unagundua kuwa vitu ambavyo tunaambiwa na kuamini kuwa havionekani, kiuhalisia vitu vyote vyaweza kuonekana endapo ukiamua. Kwa mazoea, wengi tunafikiri kwamba kama kitu hakionekani mbele ya macho yetu ya kawaida, basi tunasema...