Katika maisha yetu ya kila siku, neno “kesho” linatumika sana kama njia
pekee ya kuhairisha mambo mengi, ambayo kimsingi yalitakiwa yafanyike “leo”.
Kesho ni miongoni mwa maneno yanayopendwa kutumiwa kama kinga ya kukataa
kutimiza majukumu fulani ya leo. Badala ya mtu kusema “HAPANA” kitu hiki,
anajibanza nyuma ya...
MAARIFASHOP ni mtandao unaokupa maarifa mengi ya kukuwezesha kushinda changamoto nyingi za kiuchumi na maisha kwa ujumla. Kumbuka maandiko yanasema "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa"
Friday, September 16, 2016
Friday, September 9, 2016
Friday, September 2, 2016
Mwajiriwa Jilipe Kwanza Mjasiriamali Ufanye Nini?
"Sisi kama wajasiriamali wa kweli lengo letu la kuanzisha biashara sio kwaajili ya kupata MSHAHARA bali ni kujenga VIINGIZA-PESA” ~ Cypridion Mushongi

Sifa kuu ya mwajiriwa huwa ni kulipwa “mshahara au ujira”. Maana yake ni kwamba yule aliyekuajiri anawajibika kukulipa muda wako ambao umeutumia kwenye biashara yako. Haijalishi mshahara wako ni mkubwa au mdogo kiasi gani bali mshahara wako ni..
Sunday, August 28, 2016
Mjasiriamali Tanzania ni Nani?
“Sababu ya watu wengi kuendelea kubaki wadogo kibiashara na kimaisha ni kwamba kila wakati wao utatua matatizo yale tu wanayoweza peke yao” ~ Cypridion Mushongi.
Neno “mjasiriamali” ni miongoni mwa maneno yanayotamkwa sana kila siku, hapa Tanzania. Kwa hali iliyopo hivi sasa, ni kana kwamba wajasiriamali ni wengi sana Tanzania. Sababu ya kudhani kwamba kuna wajasiriamali wengi ni..Tuesday, August 23, 2016
Utajiri Wako Unachelewa Kwasababu Moja
Kwa jinsi binadamu tulivyo, tunaweza kuona vitu vyote ambavyo havionekani mbele ya macho yetu. Ukifuatilia kwa undani unagundua kuwa vitu ambavyo tunaambiwa na kuamini kuwa havionekani, kiuhalisia vitu vyote vyaweza kuonekana endapo ukiamua. Kwa mazoea, wengi tunafikiri kwamba kama kitu hakionekani mbele ya macho yetu ya kawaida, basi tunasema...
Subscribe to:
Posts (Atom)


