“Mtu anayeuza hisa ni sawa na mtu anayeuza kuku wakati anapenda mayai” ~ Cypridion Mushongi
MAARIFASHOP ni mtandao unaokupa maarifa mengi ya kukuwezesha kushinda changamoto nyingi za kiuchumi na maisha kwa ujumla. Kumbuka maandiko yanasema "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa"
Saturday, December 30, 2017
Unaposikia Uwekezaji Katika Hisa Unapata Picha Gani?
Monday, November 20, 2017
Unafahamu Makosa ni Mfuko Ulioficha Vitu Vizuri?
Monday, November 6, 2017
Kwanini Tunahitaji Umakini Kwenye Biashara?

Biashara au uwekezaji wowote unahitaji msingi imara, ili kuweza kukua na kuleta faida kwa mmiliki. Ukiwa na msingi imara kiwango cha hatari ya kushindwa kinapungua kwa kiasi kikubwa.
Chukulia mfano wa ujenzi wa nyumba; ukiwa unajenga nyumba unahitaji msingi imara, ili kuepuka nyumba yako kuanguka baadae. Ili kuufanya msingi wa nyumba yako kuwa imara, lazima unahitaji..
Monday, October 23, 2017
Athari za Kupenda Kuonekana Sahihi Mbele za Watu ni Hizi
Kuonekana umefanya makosa mbele za watu ni kitu kinachotishia utambulisho wa mtu, ndiyo maana watu wengi wanachukulia kufanya makosa kama jambo la kurudi nyuma. Mtazamo wa waliowengi ni kwamba kwenda mbele ni pale tu wenzako wanapokuona uko sahihi kwa mtazamo wao binafsi. Kutaka kuonekana sahihi mbele ya macho ya wenzako ndiyo usababisha
Monday, October 9, 2017
Monday, September 25, 2017
Kama Unaamini Pesa ni Sabuni ya Roho Soma Hapa

Monday, September 18, 2017
Saturday, September 9, 2017
Umezaliwa Leo Kama Mimi Unafikiri Tutashinda Mchezo wa Maisha ya Pesa Lini?
Leo tarehe 9/9/2017 ni siku yangu ya kuzaliwa ambapo nimetimiza umri wa miaka 45 tangu nilipozaliwa. Baada ya siku ya leo, nitaanza safari yangu ya mwaka wa 46, nikiwa mwenye furaha hasa ninapoona kufikia hadi siku ya leo niko hai. Wakati huo huo, nazidi kuyalinganisha maisha yangu kama “mchezo wa mpira”. Maisha ni
Monday, September 4, 2017
Unajua ni Kwanini Tunalipa Pesa Kusoma kwa Lazima?

Monday, August 28, 2017
Fursa Nyingi Tuko Maskini Kwanini?

Katika mkutano huo, mmoja wa washiriki ambaye ni Profesa Nuhu Hatibu aliwasilisha mada yake iliyojulikana kama “Biashara ya kikanda kwa mazao ya chakula kama nyenzo ya kuufanya utafiti utumike katika kutengeneza utajiri” au kwa lugha ya Kingereza; “Regional Trade in Food Staples as an Instrument for Getting Research into use for Wealth Creation”. Katika video hiyo Profesa Nuhu Hatibu, alitoa nasaa za maana sana na akaeleza
Monday, August 14, 2017
Unajua Kwanini Kwanini Yako ni Muhimu?
"Kwanini yako" ndiye mlizi wako dhidi ya changamoto na wakatisha tamaa" ~ Cypridion Mushongi

Monday, August 7, 2017
Sababu za Wateja Kuwa Zaidi ya Bosi ni Hizi Hapa

Monday, July 31, 2017
Muuzaji na Mnunuzi Nani ni Mfanyabiashara?

Watu wengi wanadahani mfanyabiashara ni
Monday, July 24, 2017
Hatari ya Kushindwa Kupanga ni Kama Hii

Katika kusisitiza hilo alisema “kushindwa kupanga ni kupanga kushindwa”. Maneno haya yalinigusa sana na yalinifanya kutafakari zaidi juu ya maana ya maneno haya katika maisha yetu ya kila siku.
Katika maisha kuna vitu ambavyo vipo na havitegemei uwepo wako. Vitu ambavyo havitegemei uwepo wako ni
Monday, July 10, 2017
Dawa ya Ujasiri wa Kukopa Pesa Benki Inapatikana Hapa

Monday, June 19, 2017
Monday, June 12, 2017
BAJETI ITAGUSA MAISHA YAKO UKIFANYA HAYA

Kikubwa kinachofuatiliwa kwenye kila bajeti, ni
Monday, June 5, 2017
Monday, May 22, 2017
Tabia ya Pata Tumia Pesa Inakukwamisha Namna Hii

Monday, May 15, 2017
Jifunze Kwanini Tunasema Hakuna Makosa Duniani
Mojawapo ya vitu ambavyo vinachukiwa sana na binadamu ni kitu kinachoitwa “makosa”. Jambo hili la makosa linaogopwa sana kutokana na ukweli kwamba, wengi wetu tumekulia na kulelewa katika mfumo ambao ni watu wachache kwa nafasi zao wanaamua na kushawishi juu ya nini kifanywe na wengine ambao ni wengi.
Maana yake ni kwamba, watu wengi licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuamua juu ya
Maana yake ni kwamba, watu wengi licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuamua juu ya
Monday, May 8, 2017
Monday, May 1, 2017
Leo ni Siku ya Wafanyakazi au Siku ya Wenyekazi Duniani

Kusherekewa kwa siku hii ya “Mei Mosi” kunathibitisha mambo makuu mawili, ambayo ni
Monday, April 24, 2017
Kuchukia Makosa ni Kuchukia Masomo ni Kweli?
Monday, April 17, 2017
Pasaka Imeisha Pesa Imeisha Nifanye Nini?
Monday, April 10, 2017
Habari Njema Kwa Wanaotafuta Ajira
“Yatupasa kutambua kuwa, tabia mbaya unayoijenga ukiwa kwenye ajira ni mali yako na wala siyo mali ya mtu mwingine au shirika lililokuajiri” ~ Cypridion Mushongi

Lakini ukichunguza kwa undani unagundua kuwa lengo kuu la watu wengi kutafuta ajira ni..
Monday, March 27, 2017
Pesa Inatakiwa Kuja Kwako Kwasababu Hii

Monday, March 20, 2017
Utajiri au Umaskini Utokana na Nini?

Kila mmoja ninaamini anao uwezo wa kuwa tajiri, isipokuwa binadamu huwa na fikra tofauti juu ya mambo yale yale. Kitu kilichoko akirini mwako ndicho kinacho leta tofauti ya hali ya Maisha unayoishi kwa sasa . Maana yake ni kwamba, jinsi ulivyo wewe ni zao la yale yote unayofikiri kila siku. Watu waliofanikiwa kuwa matajiri, wana mambo kama 5 ambayo wameyafanya kuwa kama kanuni zao za kudumu na kwakuwa ni kanuni, wao huzitekeleza na kuziishi kila siku. Kanuni zenyewe ni....
Monday, March 13, 2017
Ugonjwa wa Kuchoka Unatumaliza!
“Chanzo kikuu cha ugonjwa wa kuchoka ni watu wengi kufanya kazi ambazo hawazipendi” ~ by Cypridion Mushongi.
Ugonjwa ni hali ya kutojisikia vizuri, na wakati mwingine hali hii uambatana na maumivu makali sana. Katika ulimwengu wa afya, magonjwa yamegawanyika katika makundi makuu mawili. Kundi la kwanza ni magonjwa ya kuambukiza, mfano: kipindupindu, malaria, ukimwi n.k.
Kundi la pili ni
Kundi la pili ni
Monday, March 6, 2017
Ukibadili Unavyofikiri Hiki Kitatokea Maishani Mwako
"Hatuwezi kutatua matatizo kwa kutumia fikra zile zile zilizosababisha matatizo hayo kutokea" ~Albert Einstein
Monday, February 20, 2017
Je ni Kweli Kila Tatizo Lililopo Duniani ni Biashara?
“Maskini anatumia muda wake mwingi kufanya kazi za watu wengine na akilipwa pesa anaitumia yote kununua suruhisho kutoka kwa watu wengine ili kutatua matatizo yake” ~ Cypridion Mushongi.
Kila wakati inapotajwa biashara, wengi wetu tunawahi kufikiri kuwa ni kununua vitu kwa bei ya chini na kuuza kwa bei ya juu. Hii siyo maana halisi ya neno “biashara”. Biashara ni..
Monday, February 13, 2017
Kiongozi Wako Mkuu ni Nani?
“Kama nina funguo za mlango wa asilimia 90 ya mafanikio yangu, sitajali sana endapo funguo za mlango wa asilimia 10 zitapotea” ~ Cypridion Mushongi.
Kuwepo kwa uongozi wa pamoja kumetupumbaza wengi kiasi kwamba watu wengi tumejenga tabia ya utegemezi wa fikra na mtazamo. Muda mwingi tumekuwa na matarjio makubwa kutoka kwenye uongozi wa pamoja. Lakini ikumbukwe kuwa uongozi wa pamoja au wa jumla unatokana na uongozi wa mtu mmoja mmoja. Bila kuimarika kwa uongozi wa mtu mmoja mmoja, maisha..
Monday, February 6, 2017
Una Malalamiko Juu ya Biashara Yako?
"Tabia ya kulalamika inatokana na mfumo wa ajira ambao uwapa nafasi waajiriwa kupeleka malalamiko ngazi za juu endapo wanaona mambo hayaendi sawa---WAJASIRIAMALI TUSIWAIGE WAAJIRIWA"~ Cypridion Mushongi
Mbona unalalamika kila siku kwamba biashara yako ni ngumu? Kwani wewe ulianzisha biashara yako kwa lengo gani? Malalamiko kutoka kwa wajasiriamali imekuwa ni sehemu ya Maisha yao. Kila unapojaribu kuongea na wajasiriamali lazima usikie malalamiko mengi ikiwemo--
Sunday, January 29, 2017
Thursday, January 19, 2017
Unafahamu ni Kwanini Uko Hivi Ulivyo?
“Uwezo wako wa kutawala na kupambana na changamoto za dunia, una uhusiano wa moja kwa moja na jitihada unazoziweka katika kukamilisha kazi” ~ Cypridion Mushongi

Kila binadamu amepewa uwezo mkubwa kama zawadi kwaajili ya kukuwezesha kupata kitu chochote atakacho maishani. Lakini, ili zawadi yako ya uwezo ikunufaishe, unahitaji kufanyia kazi uwezo wako. Ukweli ni kwamba tumepewa uwezo kama zawadi na wakati huo huo kama amri kwasababu,
Thursday, January 12, 2017
Hii ni Njia Sahihi Kujipatia Uhuru wa Fedha
"Usikae kitandani mpaka pale utakapoweza kutengeneza pesa ukiwa kitandani" ~ George Burns

Mchakato ni mpangilio wa shughuli mbalimbali ambazo ufanyika hatua kwa hatua mpaka kufikia hatua ya kutoa matokeo yaliyolengwa. Kwa maneno mengine, kitu mchakato ni zaidi ya kukamilisha shughuli moja na hii ndiyo tofauti kubwa kati ya mchakato na shughuli.
Kwa mfano; ukiambiwa kuwa kutajirika ni mchakato, basi fahamu moja kwa moja kuwa utahitajika kufanya shughuli nyingi hatua kwa hatua kwa kipindi kisichopungua miaka
Kwa mfano; ukiambiwa kuwa kutajirika ni mchakato, basi fahamu moja kwa moja kuwa utahitajika kufanya shughuli nyingi hatua kwa hatua kwa kipindi kisichopungua miaka
Sunday, January 8, 2017
Je? Wewe ni Mwekezaji au Mfanyabishara
"Soko la hisa ni kifaa cha kuhamisha pesa kutoka kwa watu wasiokuwa na subira kwenda kwa wenye subira” ~ Warren Buffet.

Kwa mwaka huu wa 2017, unahitaji mwanga ili pale palipokuwa hapaonekani paonekane na wewe ikuwie rahisi kupita kwa lengo la kwenda kwenye mafanikio hasa ya uhuru wa fedha (kipato). Ukweli ni kwamba huwezi kufikia maisha ya kiwango cha kupata uhuru wa fedha au kipato kama bado..
Subscribe to:
Posts (Atom)